Tuesday, May 20, 2008

DAVID BECKS NDANI YA BONGO!



Inasemekana mchezaji wa Galaxy ya kule Marekani David atakuja hapa TZ kwa nia ya kupanda mlima wetu wa pekee Kilimanjaro,na vile vile sasa ameongeza gari lake jipya aina ya Jeep ambalo ameonekana akiendesha uku akiwa na mwanae Brooklyn.habri zaidi


No comments: