

Kwa masikitiko makubwa natoa habari hii ya wenyeji wa South Africa walipoamua kuwapiga vita wageni na wavamizi wa nchi yao ambao baadhi yao ni wenzetu watanzania,wageni hao wengine walichomwa moto , kupigwa vibaya na baadhi yao 22 kuuwawa.wengi wao sasa wanalala vituoni kwa kuhofia usalama wao.pitia hapa http://photos.mg.co.za/view_photo.php?pid=3469&gid=224
No comments:
Post a Comment