Thursday, September 17, 2009

MAJAMBAZI YAPAMBANA NA POLISI


 mwanza
jana mnamo saa kumi hivi kattika kijii kimoja kinaitwa msisi.

majambazi matatu yalipambana na polisi lakini askari kwa kushirikiana
na wananchi walifanikiwa kuyauwa majambazi hayo yote, katika mapambano
hayo askari polisi alijeruhiwa vibaya na mwananchi mmoja kuuwawa.

hapo ilikuwa ni jirani na nuyumbani kwa mooja wa majambazi hao

No comments: