Haya wadau leo nimetumiwa picha ya msanii huyu wa teknic,Jay mo kawaida yake huwa anakuwa kimya alafu akiludi anawashika na kukonga nyoyo za wapenzi wa muziki wake kama kawa.
1 comment:
Anonymous
said...
blog yako ni nzuri ila jitahidi lugha,namaanisha kiswahili fasaha.angalia sehemu za "r" na "l" pia "a" na "h".ni hayo tu.
1 comment:
blog yako ni nzuri ila jitahidi lugha,namaanisha kiswahili fasaha.angalia sehemu za "r" na "l" pia "a" na "h".ni hayo tu.
Post a Comment