Friday, May 23, 2008

JAMANI WATANZANIA LUDINI NYUMBANI




Sakata la watu wa South Africa bado linaendelea na wameshatoa tamko kwamba watu wapalamiaji waludi kwenye nchi zao,wazawa wenyewe wa uko wanalalamika kwamba wao wamekuwa wakigomea baadhi ya kazi ambazo mshahara wake ni mdogo lakini wageni wamekuwa wakizifanya tena kwa maslahi ya chini kwa iyo inasababisha kuwafanya maisha yao kuwa magumu.

3 comments:

Anonymous said...

Na wewe bwana uwe una check spelling kabla yakuweka post zako watanzania ludini (rudini) ndo nini tena?????????????

Anonymous said...

sio ludini ni rudini

Anonymous said...

unatuboa na kiswahili chako