
Hapa Dar es salam huduma hii itakuwa inapatikana zaidi ya matawi 50 ya CRDB na ATMs 75,na ATMS 20 zitakuwa tayari kabla ya mwezi july,
Pia Dr. Rashid aliongeza kuwa sasa wana plan ya introduce vituo vya kupigia simu ambavo vitakuwa vikifanya mawasiliano ya haraka kati ya wateja na company ya Tanesco.habari zidi http://www.ippmedia.com/
No comments:
Post a Comment