Tuesday, October 20, 2009

JAMANI NAOMBA MNISAIDIE



HAWA WOTE  WATANZANIA NA WOTE WAREMBO....JE NANI MVUTO A?

2 comments:

Anonymous said...

obvious miss 2000 ni bomba by far!!! pamoja na umri mdogo nancy hamfikii hata tone ms mwenyewe ntuyabaliwe......sina chuki na yoyote na wala sina naye mpenda katika suala zima (Ms Tanzania) sababu tangu ianze 94 todate binafsi hamna zaidi ya happiness magese....naye si kwamba alikuwa na mvuto sana bali muonekano wake kwenye stage.

Anonymous said...

Nancy amfikii atakwa chembe Ntuyabaliwe .cnaninaye mpenda kati yao lakini ukweli Ntuyabaliwe mzuri sn.