Monday, May 19, 2008

MUNGU ATULINDE NA MABALAA HAYA





Masikini Burma..

Burma ni nchi ambayo ina watu million 50 ipo Bara la Asia ya kusini mashariki,vilevile imepakana na Thailand,Tibet,Laos,China,India na Bangladesh.

Inasikitisha sana kuona picha hizi ambazo zinaonesha hali halisi ya mabalaa yaliyoikuta nchi iyo ya burma, eeh Mungu wasaidie..

No comments: